Breaking News

Your Ad Spot

Mar 13, 2010

MAHAFALI YA 15 YA CHUO CHA DIPLOMASIA LEO DAR

MWENYEKITI wa Shirikisho la sekta Binafsi la kupambana na Ukimwi Barani Africa (Pan Africa Business Coalition-PABC), Richard Kasesela (kulia) na Ofisa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Lilian Mukasa (wa pili kulia) ni miongoni wa wahitimu 117 ambao leo wameketi mbele ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, kutunukiwa vyeti katika mahafali ya 15 ya Chuo cha Diplomasia, kilichopo Barabara ya Kilwa mjini Dar es Salaam. Kasesela na Da Lily, wamehitimu Stashahada ya Uzamili katika Diplomasia ya Uchumi. Hawa pia ni miongoni mwa wahitimu waliojipatia Nondozzzzzi katika mahafali hayo.

1 comment:

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages