Breaking News

Your Ad Spot

Mar 12, 2010

RAIS KIKWETE AMWAAPISHA BALOZI NA MAKATIBU TAWALA WA MIKOA

RAIS Jakaya Kikwete akimwapisha Patrick Tsere kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Ukulu mjini Dar es Salaam, leo. Wa pili kuhsoto ni Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo.Rais  Jakaya Kikwete akimwapisha  Rehema Madenge kuwa Katibu Tawala  wa mkoa wa Dodoma, leo Ikulu, Dar es Salaam.Rais Kikwete akimwapisha  Theresia Mmbando kuwa Katibu Tawala  mkoa wa Tabora.Rais Kikwete akimwapisha  Salum Chima kuwa Katibu Tawala mkoa wa  RukwaRais Kikwete akimwapisha Clement Lujaji kuwa Katibu Mkuu mkoa wa Mara

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages