SHIRIKA la kutetea haki za bianadam la Global Witness linasema limepata ushahidi kuwa wanajeshi waliokuwa waasi katika eneo la mashariki mwa Congo wanajinufaisha na biashara ya madini nchini humo.Shirikika hilo limeshtumu serikali ya jamuhuri ya kidemokrasi ya Congo na jamii ya kimataifa kwa kutochukua hatua madhubuti kuwaondoa watu waliojihami katika migodi nchini humo
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269