Breaking News

Your Ad Spot

Apr 30, 2010

MDAU ATHUMANI HAMISI KUREJEA NCHINI MEI 8

Athumani Hamis
MDAU  muhimu wa siku nyingi katika sekta ya habari, Mpigapicha Mkuu wa gazeti la HABARILEO Athumani Hamis ambaye amekuwa akitibiwa nchini Afrika Kusini kwa zaidi ya miaka miwili sasa, baada ya kupata ajali ya gari mjini Dar es Salaam, mwaka juzi. atarejea nchini Mei 8, mwaka huu.
  " Aslaam, safari imeiva. Narudi Tanzania Mei 8, saa 12 jioni.
Msisikitike kuniona ktk kiti wheelchair, mikono na miguu haifanyi kazi. Ni kazi ya Mungu, haina makosa". huu ndiyo ujumbe ambao Athumani Hamis ameutuma leo jioni kwa mtayarishaji wa Blog hii. nami nimeona ni vema nanbyo wadau muupate ujumbe huu. 

1 comment:

  1. hi to all bashir-nkoromo.blogspot.comers this is my first post and thought i would say hello to you all -
    thank yous speak soon
    garry moore

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages