Breaking News

Your Ad Spot

Aug 26, 2010

DK. SHEIN ASAINI HATI YA KIAPO KUOMBA URAIS ZANZIBAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein kulia, akitia saini hati ya fomu ya kiapo ya kugombea Urais wa Zanzibar mbele ya Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Hamid Mahamoud katikati, Hafla hiyo ya utiaji saini imefanyika leo Maisara mjini Zanzibar. Kushoto ni Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar Mshibe Ali Bakari.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages