Breaking News

Your Ad Spot

Sep 18, 2010

PINDA AMWAKILISHA JK MKUTANO WA UN

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu, wakizungumza na Ombeni Sefue (kushoto) na Balozi wa Tanzania nchini Marekani nje ya Ofisi za Umoja wa Mataifa, Mwanaidi Maajar, baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa JFK jijini New York leo mchana kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu Maendeleo ya Millenia. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages