Breaking News

Your Ad Spot

Nov 23, 2010

KILI STARS YAIFUNGA KABAO KAMOJA HARAMBEE STARS

 MSHAMBULIAJI wa Timu ya Taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars), Mrisho Ngasa (kulia) akipambana na Stephen Ocholla wa timu ya Taifa ya Kenya, Harambee Stars, timu hizo zilipemenyana katika mechi ya kirafiki ya Kimataifa, leo kwenye Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam. Kilimanjaro Stars iliibuka na ushindi wa bao 1-0.
Mwaikimba akipongezwana wachezaji wenzake baada ya kupachika bao la pekee katika mechi hiyo 
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Kenya, 'Harambee Stars',Jacob Mulee (kushoto) akimpongeza Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars'Jan Paulsen naada ya mechi

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages