Breaking News

Your Ad Spot

Dec 3, 2010

NKURUNZINZA MWENYEKITI MPYA WA JUMUIA YA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI

Mwenyekiti wa Jumuiya ya nchi za Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akikabidhi uenyekiti wa jumuiya hiyo kwa Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi wakati wa mkutano wa kumi na mbili wa kilele wa wakuu wa nchi ya jumuiya hiyo uliofanyika katika hoteli ya Ngurdoto nje kidogo ya mji wa Arusha jana

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages