RAIS Jakaya Kikwete, akimwaapisha Ali Hassan Rajabu kuwa Kamishna wa T ume ya Haki za Binadamu, Ikulu mjini Dar es Salaam, leo. Kulia ni Chrescent Massay alipokuwa akisubiri kuapishwa kuwa Katibu wa Tume hiyo. Wapili kushoto ni Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269