Breaking News

Your Ad Spot

Jan 18, 2011

YANGA YALALA 3-2 KWA ATLETICO

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Job Ibrahim akipambana na beki wa Gabliel Lima de Oliveira wa Altatico ya Brazil, timu hizo zilipomenyana leo kwenye Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam, katika mechi ya kirafiki ya Kimataifa.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages