Breaking News

Your Ad Spot

Jan 17, 2011

MPIGACHAPA MKUU WA SERIKALI AATEMBELEA OFISI ZA UHURU /MZALENDO DAR

Mpigachapa Mkuu wa Serikali, Cassian Chibogoyo akifurahia jambo na Naibu Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Uhuru Publications Ltd, wachapishaji wa magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, baada ya kutembelea Makao makuu ya kampuni hiyo, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mhariri wa Mzalendo, Bakari Mnkondo. 

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages