Mpigachapa Mkuu wa Serikali, Cassian Chibogoyo akifurahia jambo na Naibu Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Uhuru Publications Ltd, wachapishaji wa magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, baada ya kutembelea Makao makuu ya kampuni hiyo, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mhariri wa Mzalendo, Bakari Mnkondo.
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269