Breaking News

Your Ad Spot

Jan 2, 2011

MAYA BASHIR ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

Maya Bashir, akiwa nyumbani kwao Mbezi Beach, Dar es Salaam, muda mfupi kabla ya kuanza sherehe yake ya kuzaliwa. Desemba 31, 2010 alitimiza miaka mitano. Sherehe imefanyika leo. Ilishindikana kufanyika Desemba 31, 2010, kwa kuwa Baba Maya ambaye alikuwa mgeni rasmi katika sherehe hiyo  alikuwa kazini. 
Akitafakari wakati akikata keki yake, taratiiibu 
Halafu akamlisha dada yake, Halima Bashir ambaye ataaza form one, 2012. 
Ikawa shangwe kwa waalikwa, ambao ni waheshimiwa watoto wenzake na wakubwa wachache sana. 
Wakubwa wachache waliohudhuria mnuso huo, wakajumuika kama hivi kupata msosi kama hivi 

Maya Bashir akipata msosi baada ya kupooza koo kwa keki
Waheshimiwa watoto wakipata msosi 
Halafu akamalizia kwa Chiazzzzzzzzzzzzz

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages