Breaking News

Your Ad Spot

Jan 12, 2011

SHEREHE MIAKA 47 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR ZAFANA LEO

Msafara wa Rais wa Zanzibar, Dk. Shein ukiingia kwenye sherehe hizo.
Rais Jakaya Kikwete akisalimia wananchi baada ya kuwasili kwenye sherehe hizo

Dk. Shein akikagua gwaride 
Askari wakionyesha ukakamavu wao wakati wa gwaride 
Ilikuwa shughuli pevu kiasi cha wengine kuangusha kofia na kuendelea mbele  
Viongozi mbalimbali wakuu katika sherehe hizo 
Kijana aliyedondoka ghafla uwanjani akishuhudia sherehe hizo akisaidiwa na watu wa msalaba mwekundu 
Wananchi mashuhuri waliohudhiria sherehe hizo

2 comments:

  1. Naona kuna viongozi mbalimbali na wananchi mashuhuri tu kwenye hii hafla. Wananchi wa kawaida hawakuhudhuria?

    ReplyDelete
  2. Wananchi walikuwepo, lakini haikuwa rahisi kuwafahamu kwa ni wananchi wa kawaida, maada wengi katika majukwaa ya kawaida, walionekana kuvaa sare za vyama vyao; kwa mfano wakati sherehe hizo zilikuwa ya wananchi wote bila kujali itikadi za vyama, makundi makubwa yaliyoonekana ni yaliyokuwa katika nguo za CCM na lingine za CUF, ndiyo sababu sikuona umuhimu wa kuwataja kama wananchi.

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages