Breaking News

Your Ad Spot

Jan 5, 2011

ZIARA YA JAJI MKUU DAR

Mh.Jaji Mkuu alipotembelea Mahakama ya Kisutu jana, pia alitembelea Mahakama Kuu na Divisheni zake (Mahakama ya Biashara, Mahakama ya Ardhi na Mahakama ya Kazi) kujua matatizo mbalimbali kabla ya kuanza utendaji wake kama Jaji Mkuu mpya.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages