Breaking News

Your Ad Spot

Feb 17, 2011

SHESHE LA MABOMU GONGOLAMBOTO, JK ATEMBELEA ENEO LA TUKIO, MUHIMBILI

Eneo la Kambi yalikolipuka makombora na mabomu hayo 
Kioo cha gari kikiwa kimevunjwa eneo la Ukonga, Magereza

Nyumba ambayo imesambaratishwa na bomu katika eneo la Ukonga Mzambarauni, na kusababisha vifo vya watu watano 
Baadhi ua majeruhi wakiwa katika hospitali ya Temeke 
Majeruhi aliyefikishwa hospitali ya Temeke akiwa hoi, akisaidiwa 
Familia zikikimbia makazi yao kutoka maeneo ya Majohe 
ASKARI wa JWTZ akimwelekeza njia salama ya kupita, mkazi wa Majohe aliyekuwa akihama makazi yake, aliyepita eneo la kambi ya Ukonga yalikolipuka mabomu 
Mtu akiamua kumchuna na kumchanja nyama, kwa ajili ya kitoweo ng'ombe aliyekufa baada ya kulipukiwa na mabomu hayo akiwa katika zizi, eneo la Ukonga, Madafu 
 Watu wakiwa wamechoka kiasi cha wengine kupiga miayo walipopumzika eneo la Madafu, Ukonga, baada aya kutembea umbali mrefu wakikimbia makazi yao, kuhofia mabomu
 Amiri Jeshi Mkuu, Rais Jakaya Kikwete akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukagua eneo la tukio, katika kambi ya JWTZ Ukonga yalikolipuka mabomu hayo
Waziri wa Ulinzi Dk. Hussein Mwinyi akizungumza na Mkuu wa JWTZ, Jenerali Davis Mwamunyange na Mnadhimu wa Jeshi hilo, Abdurahman Shimbo, baada ya  Rais kuondoka eneo la tukio
Watu wakidandia lori baada ya kukosa usafiri walipokuwa wakikimbia makazi yao

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages