Breaking News

Your Ad Spot

Mar 18, 2011

DK SHEIN AZINDUA MSIKITI WA DIMMANI ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi AlHaj Dk Ali Mohamed Shein,akifungua pazia kuashiria ufunguzi wa msikiti Masjid Taquwa, wa Dimani Bondeni katika wilaya ya Magharibi Unguja leo. 
Rais wa Zanzibar, Dk. Shein akiwahutubia waumini baada ya kufungua msikiti huo (Picha kwa hisani ya Ofisi ya Rais Zanzibar)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages