Breaking News

Your Ad Spot

Mar 31, 2011

DK.BILAL ATOA POLE TETEMEKO LA TSUNAMI LILILOTOKEA JAPAN

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na Balozi wa Japan Nchini Tanzania Mhe. Hiroshi Nakagawa wakati alipokwenda kwenye Ofisi ya Ubalozi wa Japan Upanga jijini Dar es Salaam leo kwa ajili ya kusaini kitabu cha pole kwa  maafa ya tetemeko na Tsunami, nchini Japan hivi karibuni 
Akisaini kitabu hicho. (Picha zote na Maelezo na Amor Nasor -VPO)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages