Breaking News

Your Ad Spot

Mar 31, 2011

NAIBU WAZIRI MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA ATEMBELEA ZANTEL

OFISA Mkuu wa Teknolojia katika Kampuni ya Zantel, Moncef Mettiji wa pili (kulia) akimuonyesha moja ya mitambo ya mawasiliano ya kampuni hiyo, Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, Charles Kitwanga alipotembelea kampuni hiyo Dar es Salaam, leo. Kuliani ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Zantel, Ali Bin Jarsh.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages