Breaking News

Your Ad Spot

Mar 20, 2011

TP MAZEMBE NOMA! YAINYUKA SIMBA 3-1


Taarifa zilizopatikana katika anga za Ki-spoti zimesema TP Mazembe imeifinga Simba mabao 3-1 katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, uliomalizika jioni hii, katika Uwanja wa State De Kenya mjini Lubumbashi, Congo- DRC

1 comment:

  1. Poleni sana wawakilishi wetu, msikate tamaa, marudio mnaweza kufanya maajabu...mpira ni dakika tisini au sio...?

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages