Breaking News

Your Ad Spot

Apr 22, 2011

BAADHI YA YALIYOJIRI IBADA YA IJUMAA KUU LEO

Muumini wa Kikristo akitungikwa msalabani kama Yesu katika igizo lililofanywa na Vijana wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Azania Front, Dar, wakati wa ibada ya Ijumaa Kuu  kwenye hilo leo
Vijana hao wakiigiza  Yesu alivyokuwa na wanafunzi wake kabla ya kuteswa hadi kutungikwa msalabani, wakati wa ibada ya Ijumaa Kuu ya Psaka kwenye Kanisa la KKKT Azania Front Dar es Salaam
Nyomi ya waumini katika katika la KKKT Azania Front wakati wa ibada hiyo
Waumini katika kanisa la Presbyterian, Upanga Dar es Salaam
Mzee Malecela na Mkewe  Anne Kilango Malecela wakipokewa kwenye kanisla la Presbyterian, Upanga Dar es Salaam.
Mwanamake akisubiri wanunuzi wa mishumaa nje ya Kanisa la St. Joseph Dar es Salaam
Kijana wa Kiislamu, Ramadhani Mzinga, akisubiri  kuwauzi CD za nyimbo za Injili waumini waliokuwa wakiingia katika  Kanisa la Presbyterian Upanga, kwenye ibada hiyo leo.

3 comments:

  1. Недавно узнал, что фильмы дозволительно просматривать для мобильном телефоне. Сначало не поверил, но в конце концов оказалось, который фильмы пережимаются и весят не так много. Для меня это весь удобно, теперь появилась мочь созерцать кино для улице,в лесу, в трамвае, автобусе, на работе, на учебе[url=http://films3gp.ru/].[/url].. Который вы думаете по поводу фильмов в формате 3gp? Так ли это удобно?

    ReplyDelete
  2. [url=http://multek.tv/]Игры Маша и Медведь [/url]

    ReplyDelete
  3. [url=http://buypropeciaonlinerx.com/#5563]cheap propecia[/url] - propecia 1 mg , http://buypropeciaonlinerx.com/#2497 propecia 1 mg

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages