Ofisa Itifaki na Uhusiano wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC), Rodney Thadeus (kulia) akimkabidhi mipira 10 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha (RPC) Thobias Andengenye (kushoto) leo katika ofisi ya kata ya Kaloleni, kwa ajili ya timu ya mpira wa miguu ya kata ya Kaloleni inayoshirki kombe ya Andengeye linalo hamasisha ulinzi shirikishi mkoani humo. Katikati ni Diwani wa kata hiyo, Charles Mpanda.
Your Ad Spot
Apr 12, 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269