Breaking News

Your Ad Spot

May 29, 2011

NBC YACHANGIA SH. MILIONI TANO MBIO ZA MWENGE MBEYA

Mshauri wa Mawasiliano wa Benki ya NBC, Bi. Robi Matiko-Simba (wa pili
kushoto) akikabidhi mfano wa hundi ya shs milioni tano kwa Mkuu wa
Wilaya ya Mbeya, Bw. Evans Balama ikiwa ni sehemu ya mchango wa benki
hiyo kwa ajili ya mbio za Mwenge wa Uhuru katika makabidhiano
yaliyofanyika Mbeya hivi karibuni. Wengine pichani kushoto ni Meneja
wa NBC Kanda ya Nyanda za Juu, Bw. Ramadhani Lesso, Meneja wa benki
hiyoTawi la Mbeya, Bw. Salema Kileo (wa pili kulia)  na Bw. Lazaro
Mwankenja, mmoja wa waratibu wa mbio hizo.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages