Breaking News

Your Ad Spot

May 29, 2011

WASHINDI TUZO ZA kILI TANZANIA MUSIC AWARS 2011 WAWASHA MOTO MJINI MOSHI

Waimbaji wa bendi ya Mapacha Watatu, Jose Mara na Khalid Chokoraa (kulia) akitumbuiza wakati wa tamasha la wanamuziki walioshinda tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2011, lililofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Uwanja wa Chuo cha Ushirika Moshi (MUCCoBS) na kudhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Kilimanjaro 
Wanamuzi bora wa Hip Hop, Jacob Makala 'JCB' (kulia) na Daudi Bakari  wakitumbuiza wakati wa tamasha la wanamuzi walioshinda tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2011, lililofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Uwanja wa Chuo Cha Ushirika Moshi (MUCCoBS) na kudhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Kilimanjaro.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages