Breaking News

Your Ad Spot

Jul 27, 2011

CHE MUNDUGWAO KUIBUKA UPYA

Baada ya ukimya wa takribani mwaka mmoja bila kuonekana jukwaani nchi Tanzania, mwanamuziki mahiri wa muziki wenye viongo vya kiasili ya Tanzania Che Mundugwao na bendi yake ya Chemundu & Mbega Arts ataanza kufanya vitu vyeke tena.

Kwa kuanzia, leo Che Mundugwao atapanda jukwaani na bendi hiyo katika Tamasha la Yakale Yanapokutana na Sasa linaloendelea katika ukumbi wa Kijiji Cha Makumbusho, Dar es Salaam. ambapo bendi ya Che Mundugwao ni mmoja wa washiri wa tamasha hilo.

2 comments:

  1. [url=http://www.casinovisa.com/how-to-play-online-roulette/]online roulette[/url] , [url=http://www.concordiaresearch.com/games/blackjack/index.html]slots[/url] , [url=http://www.realcazinoz.com/vi]bingo[/url] , [url=http://www.avi.vg/category.php?a=sex4sexx&cid=151]adult toys[/url] , [url=http://www.free-casino-bonus.com/free-casinos/]tropez casino bonus[/url]

    ReplyDelete
  2. [url=http://buypropeciaonlinerx.com/#9538]cheap propecia[/url] - cheap propecia , http://buypropeciaonlinerx.com/#14584 propecia 5 mg

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages