Breaking News

Your Ad Spot

Jul 29, 2011

MAHAFALI YA TATU YA DARASA LA SABA SHULE YA AWALI NA CHEKECHEA YA SUNRISE

Waziri wa zamani wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Margareth Sitta akiwa na wahitimu wa darasa la saba wakati wa mahafali hayo yaliyofanyika katika shule hiyo katika, Kinondoni Morocco, Dar es Salaam. Kulia (nyuma) ni Mkurugenzi wa shule hiyo Mary Mushi. 
WAZIRI wa zamani wa Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto, Margareth Sitta akiinama kuona vizuri kazi za mikono za wanafunzi wa shule ya Chekechea na Msingi Sunrise, alipohudhuria mahafali ya tatu ya darasa la saba ya shule hiyo, Kinondoni mjini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa shule hiyo Mary Mushi.  
WAZIRI wa zamani wa Maendeleo ya jamii, Jinsia na Watoto, Margareth Sitta  (kushoto) na Mkurugenzi wa shule ya chekechea na msingi ya Sunrise, Kinondoni Dar es Salaam, Mary Mushi, wakiwasili kwenye sherehe za mahafali ya tatu ya darasa la saba ya shule hiyo. Kulia ni wahitimu hao. 
Wanafunzi wa shule hiyo ambao ni Skauti wakifanya gwaride maalum wakati wa mahafali hayo. 
Wanafunzi wakipata burudani ya midori maalum  
Mdau wa shule hiyo, Furaha Luhende akiwa na Mama Sitta. 
Mama Sitta akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mahafali hayo

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages