Breaking News

Your Ad Spot

Aug 29, 2011

CCM YATANGAZA MGOMBEA WAKE IGUNGA

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, kutangaza mgombea huyo wa CCM jimbo la Igunga. Kushoto ni Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha Mwigulu Nchemba.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages