Breaking News

Your Ad Spot

Aug 29, 2011

PRESS CONFERENCE YA NAPE

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, leo saa kumi na moja jioni hii anazungumza na waandishi wa habari kuhusu mambo muhimu ya Chama.
Miongoni mwa atakayozungumzia ni yaliyojiri katika kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyilia leo chini ya Mwenyekiti wa Chama, Rais Jakaya Kikwetwe. Dont Miss!

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages