Breaking News

Your Ad Spot

Aug 29, 2011

Katibu Mkuu wa CCM Wilson Mukama na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) John Chiligati (kushoto) wakibadilishana mawazo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba, Dar  es Salaam, kabla ya kwenda katika kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM leo. Kikao hicho kilichofanyika mjini Dar es Salaam kimefanyika chini ya Mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages