Breaking News

Your Ad Spot

Aug 21, 2011

FAINALI KUHIFADHI QUR-AN YAFANYIKA LEO DAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi na baadhi ya Viongozi wa dini ya Kiislamu, wakiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa  fainali za mashindano ya kuhifadhi Qur-an, baada ya kumalizika kwa mashindano hayo  katika ukumbi wa Diamond Jubilee leo Agosti 21. Picha na Muhidin Sufiani-OM

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages