Breaking News

Your Ad Spot

Aug 21, 2011

UTAALAMU WA MFUGAJI KUKU WA ILALA DAR

Mkazi wa Ilala, Dar es Salaam, Sabri Ali Omari akiwalisha kuku majani kuwakinga ugonjwa wa mdondo badala ya dawa za kawaiada. Sabri ambaye pia ni mfanya biashara anafuga kuku zaidi ya 100 nyumbani kwake.(Picha na Emmanuel Ndege).

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages