Breaking News

Your Ad Spot

Aug 21, 2011

RAIS AKAGUA CHANZO CHA MAJI LINDI

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akikagua chanzo cha maji ya Minispaa ya Lindi, Kitunda kata ya Msinjahili manispaa hiy leo mchana kwenye siku ya pili ya ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Lindi(picha na Freddy Maro).

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages