Breaking News

Your Ad Spot

Jan 9, 2012

MKAPA ATOKA KUSHIRIKI MIAKA 100 YA ANC

Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa akilakiwa na Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama alipowasili leo Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, akitoka Afrika Kusini ambako alimwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika maadhimisho ya miaka 100 ya chama cha ANC. Kati niu Mama Anna Mkapa.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages