Mwenyekiti Mstaafu wa CCM, Rais Mstaafu Benjamin Mkapa akilakiwa na Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama alipowasili leo Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, akitoka Afrika Kusini ambako alimwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika maadhimisho ya miaka 100 ya chama cha ANC. Kati niu Mama Anna Mkapa.
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269