Meli ya Uvuvi iliyokamatwa katika kina kirefu cha Bahari ya Hindi zaidi ya miaka mitatu iliyopita ikianza kuzama kwenye gati la bandari jijini Dar es Salaam, ambako imehifadhiwa. Kesi kuhusiana na waliokamatwa katika meli hiyo imekwishamalizika na wahusika kuhukumiwa kifungo na wengine kuachwa huru. Je nini hatma ya meli hii? Picha kutoka Michuzi Blog
Your Ad Spot
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269