Breaking News

Your Ad Spot

Apr 29, 2012

VIONGOZI AFRIKA MASHARIKI WATIA SAINI MKTABA WA USHIRIKIANO KATIKA ULIZNI WA NCHI HIZO

 Rais Jakaya Kikwete na viongozi wenzake wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakionesha hati baada ya kutia saini mkataba wa makubaliano ya ushirikiano katika ulinzi wa nchi hizo Aprili 28, 2012 katika hoteli ya Ngordoto jijini Arusha. Wengine kushoto ni Paul Kagame wa Rwanda, Mwai Kibaki wa Kenya na Yoweri Museven wa Uganda

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages