Breaking News

Your Ad Spot

Apr 19, 2012

WANACHAMA MFUJKO WA GEPF KULIPA MICHANGO KUPITIA AIRTEL MONEY

Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Garib Bilal akizindua mfumo wa malipo ya michango ya wanachama wa Mfuko wa GEPF kupitia huduma ya  Airtel Money, katika hoteli ya Gold Crest,jijini Mwanza. Kushoto ni Meneja wa Kitengo cha Airtel Money, Asupya Nalingigwa, akifuatiwa na Naibu Waziri wa Fedha Gregory Teu na Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya GEPF, Ladislaus Salema.             

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages