Breaking News

Your Ad Spot

May 3, 2012

BALOZI WA NIGERIA ATETA NA KATIBU MKUU WA CCM

 Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama (kulia) akizungumza na Balozi wa Nigeria hapa nchini, Ishaya Samaila Majanbu, Ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba mjini Dar es Salaam, leo.
Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama (kulia) akiagana na Balozi wa Nigeria hapa nchini, Ishaya Samaila Majanbu, baada ya kuwa na mazungumzo, Ofisini kwake.

1 comment:

  1. Kitaifa Makamanda Wapo Safi Hawateteleki Mtendaji Mkuu & Mwenezi Taifa wekeni Mikakati Maalumu Mikoani, Wilayani Mpaka chini UHAI wa CHAMA uimarike zaidi

    ReplyDelete

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages