BALOZI WA NIGERIA ATETA NA KATIBU MKUU WA CCM

Thursday, May 3, 2012

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
 Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama (kulia) akizungumza na Balozi wa Nigeria hapa nchini, Ishaya Samaila Majanbu, Ofisini kwake, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba mjini Dar es Salaam, leo.
Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama (kulia) akiagana na Balozi wa Nigeria hapa nchini, Ishaya Samaila Majanbu, baada ya kuwa na mazungumzo, Ofisini kwake.

1 Comments:

the GREEN planet said...

Kitaifa Makamanda Wapo Safi Hawateteleki Mtendaji Mkuu & Mwenezi Taifa wekeni Mikakati Maalumu Mikoani, Wilayani Mpaka chini UHAI wa CHAMA uimarike zaidi