Baadhi ya abiria waliokuwa katika daladala hili lenye namba za usajili T303 BAJ, wakitokea Kariakoo kwenda Kawe, wakilazimika kushuka kwenye kituo cha Usalama, Magomeni, baada ya kondakta na utingo wa daladala hilo, kuamua kukatisha ruti ya kwenda Kawe na kutangaza kuwa wanakwenda Manzese, leo saa 11 jioni, Naomba mwenye namba ya Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe ampe salamu hizi.
Your Ad Spot
Jun 13, 2012
Home
Unlabelled
DALADALA DAR WAENDELEA KUMPIMA UBAVU DK. MWAKYEMBE
DALADALA DAR WAENDELEA KUMPIMA UBAVU DK. MWAKYEMBE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269