Breaking News

Your Ad Spot

Jun 28, 2012

DK.ULIMBOKA AZUNGUMZIA HALI YAKE HOSPITALI

Mwenyekiti wa Jumuia ya Madaktari Tanzania, Dk. Steven Ulimboka  ambaye amelazwa katika Taasisi ya Mifupa (MOI) katika Hospitali ya taifa Muhimbili, Dar es Salaam, tangu jana baada ya kupigwa na watekaji nyara, leo amezungumzia hali yake, ambapo ameeleza kwamba ni ya nafuu ikilinganishwa na alivyojuwa jana. Pia amesema kutokana na hali yake anaomba wanaomjulia hali kuacaha kwanza kwa sababu anahitaji kupumzika zaidi. KUONA VIDEO YAKE BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages