Breaking News

Your Ad Spot

Oct 29, 2012

PINDA AWASILI DODOMA LEO TAYARI KWA KIKAO CHA BUNGE

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dr. Rehema Nchimbi baaada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma kwa ajili ya kikao cha Bunge kinachotarajiwa kuanza Oktoba 30, 2012. (Picha na Ofisi ya Wazieri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages