Breaking News

Your Ad Spot

Nov 19, 2012

TASWIRA KATIKA UTUNZAJI MAZINGIRA

Juhudi za kuokoa misitu ili kutunza mazingira Tanzania bado zinakumbana na changamoto kadhaa ikiwemo mahitaji ya matumizi ya kuni yanayosababishwa na kutokuwepo nishati nyingine mbadala. Pichani, watu wakiwa wamepakia kuni kutoka msituni, nje kidogo ya mji wa Dodoma, juzi.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages