Breaking News

Your Ad Spot

Dec 9, 2012

USAFIRI WA TRENI MWANZA WAFUFUKA LEO



MAMIA ya watu leo walilipuka kwa shangwe na vigelegele wakati wakiilaki treni ya abiria (pichani), ilipowasili jijini Mwanza kwa mara ya kwanza baada ya kusitishwa kwa safari zake toka Disemba 2009. Iiliwasili katika Stesheni ya mjini Mwanza saa 5:55 mchana. Kwa Habari za kina, Ingia Ukurasa wetu wa Biashara na Uchumi au BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages