Mchezaji wa zamani wa timu ya Simba na baadaye Yanga kwenye miaka ya 1980, Zamoyoni Mogella akikatiza mitaa ya Lumumba jijini Dar es Salaam, asubuhi hii, leo, akiwa na mtoto wake Falshady Mogella (19). Baada ya kustaafu masuala ya soka sasa Mogella anafanya shughuli zake binafsi ambazo amezielezea kwamba zimezidi kuimarisha maisha yake na kwamba hayo ni matunda ya kujipanga katika maisha hasa kwa wanamichezo.
Your Ad Spot
Jan 17, 2013
Home
Unlabelled
KAMA UNAMKUMBUKA ZAMOYONI MOGELLA
KAMA UNAMKUMBUKA ZAMOYONI MOGELLA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269