Breaking News

Your Ad Spot

Apr 14, 2013

SIMBA YAVUTWA SHARUBU NA AZAM FC ZATOKA SARE YA MABAO 2-2

 Mshambuliaji wa Simba, Mrisho Ngassa akichuana na beki wa Azam FC, John David katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Timu hizo zilifunga mabao 2-2 (Picha na Habari Mseto Blog)  
 Mshambuliaji wa Simba, Mrisho Ngassa akimtoka beki wa Azam
FC, Joockins Atudo wakati wa mchezo wa Ligi Kuu

Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
jana. Timu hizo zilitoka sare ya mabao 2-2.
 Wachezaji wa Simba wakishangilia baada ya kuapata bao la pili.
Kiungo
wa timu ya Simba, Abdallah Seseme akiwatoka wachezaji wa Azam FC, Himid Mao
(kulia) na Salum Abubakar wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara
uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Timu hizo
zimetoka sare ya mabao 2-2. 

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages