Breaking News

Your Ad Spot

Dec 22, 2013

JE, UNAMFAHAMU VYEMA, MHINA DUNGUMARO WA UHURU FM?

Huyu ndiye, Steven Mhina Dungumalo, kijana mwenye umri wa miaka 40 tu, anatangaza kipindi cha Hellow Tanzania cha saa 12- saa 3 asubuhi @ siku na vipindi kama cha enzi hizo kinachohusu uchambuzi wa nyimbo zilizotamba zamanii katika anga la muziki wa Tanzania, Afrika Mashariki, Afrika yote na dunia nzima kwa jumla. Kipindi hicho hurushwa saa 10 hadi saa moja jioni. Je, unafahamu habari nyingine nzuriiiii za Mtangazaji huyu machachari?, Tafadhali kama unazijua tupia hapo chini kwenye fasi ya maoni, atakayetaja sifa zilizo bora kabisa kuliko wengine kuhusu mtangazaji huyu tuta...., nzuri.

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages