Breaking News

Your Ad Spot

Feb 14, 2014

RAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA AHUDHURIA MAONYESHO YA PICHA ZA KAZI ZA AGA KHAN DUNIANI


 Rais Mstaafu Benjamin Mkapa akiwasalimia baadhi ya viongozi, alipowasili kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, yanakoendelea maonyesho hayo ambayo yanafanyika kwa mara ya kwanza hapa Tanzania. Anayempa mkononi Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM.
 Mzee Mkapa akiingia ukumbini
 Mzee Mkapa akizungumza na kutoa nasaha zake
Waalikwa wakimsikiliza Mzee Mkapa

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages