Breaking News

Your Ad Spot

May 14, 2014

ABBAS MTEMVU AJULIA HALI WALIOLAZWA HOSPITALI YA TEMEKE, ATOA MSAADA

 Akitoa mkono wa pole kwa mgonjwa  alielazwa katika wodi  maalum ya magonjwa ya kuambukiza katika Hospitali ya Rufaa ya  Temeke. 
 Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (kulia), akimjulia hali mgonjwa wa Dengue, Pascal Luhuna,kushoto  ambaye ni Askari Polisi kituo cha Kati Dar es Salaam jana katika Hospitali ya  Rufaa na Mkoa Temeke,wapili kushoto mwenye suti ni Mganga mkuu wa  wa Hospitaki hiyo ni Mganga waHospitali hiyo, Amaani Malima na wapili kulia ni Mratibu wa Huduma saidizi Temeke Hospitali Daktari,  Rukia Msami
 Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (wa tatu kulia), akimjulia hali mgonjwa wa Dengue,Veronica Tesha,(kushoto)  Dar es Salaam jana katika Hospitali ya  Rufaa na Mkoa Temeke,wapili kushoto mwenyekitambaa cheusi ni Mratibu wa Huduma saidizi wa  Hospitali hiyo  Rukia Msami mwenye suti ni Mganga mkuu wa  wa Hospitaki hiyo  Amaani Malima na  wakwanza kulia ni mume wa   Veronica Tesha,mzee Bawala Lemjus

  Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu na mwenyekiti wa Wabunge mkoa wa Dar es Salaam, akimkabidhi moja ya vifaa vya Dawa  Mganga wa Hospitali ya  Rufaa ya Temeke, Amaani Malima (kushoto) , wakati alipofika Hospitalini hapo kwaajli ya kusaidia dawa mbalimbali  zenye thamani ya sh mill .1.5,na kushoto ni mwenye Duka la dawa Grant Swebe ,ambaye nayeye akichangia vifaa vya  thamani ya sh 1,750,000.

 Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages