Mdau Rahim Zamunda (kulia) akifurahi kwenye picha ya pamoja na Mh. Mohammed Dewji.
Mbunge
wa Jimbo la Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), Naibu Waziri wa
Fedha ambaye pia Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Mh. Mwigulu Nchemba
wakiwa kwenye boda boda, wakati wa msafara wa kuelekea kwenye mkutano wa
hadhara wa CCM uliofanyika eneo la viwanja vya People’s Club mjini
Singida.
Katibu
Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana , sambamba na Katibu wa Itikadi
na Uenezi Nape Nnauye,wakiwasili kwenye viwanja vya People’s Club
kwenye mkutano wa hadhara kwa staili ya aina yake kwa kutumia usafiri wa
Bajaji.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269