Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akimlaki Rais wa Taasisi ya
Africare, Dkt Darius Mans, alipokutana naye Ikulu jijini Dar es salaam
leo Mei 27, 2014.Kushoto Mama Sekai P. Chikowero, Mkurugenzi Mwandamizi wa nchi za
Tanzania, Rwanda na Uganda wa Africare ambayo ni taasisi kubwa ya
maendelo kwa Afrika inayoendeshwa na Wamarekani wenye asili ya watu weusi. Bw. Mans yuko nchini kwa ziara ya kikazi ya siku nne.
Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiwa katika mazungumzo na Rais
wa Taasisi ya Africare, Dkt Darius Mans, alipokutana naye Ikulu jijini
Dar es salaam leo Mei 27, 2014.Kulia ni Mama Sekai P. Chikowero,
Mkurugenzi Mwandamizi wa nchi za Tanzania, Rwanda na Uganda wa Africare
ambayo ni taasisi kubwa ya maendelo kwa Afrika inayoendeshwa na
Wamarekani wenye asili ya watu weusi. Bw. Mans yuko nchini kwa ziara ya
kikazi ya siku nne.Picha na IKULU
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269