Picha ya Tuzo iliyopokea mkoa wa Tanga wakati wa maadhimisho ya
wiki ya Elimu Tanzania, “Hongera Mkoa
waTanga”.
|
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Chiku Gallawa (kulia) akipokea tuzo ya mkoa
wake kufanya vizuri 2013 katika sekta ya Elimu kutoka kwa Katibu Tawala wa Mkoa
huo Salum Mohamed Chima (kushoto) hivi
karibuni ofisini jijini Tanga. Tuzo hiyo ilikabidhiwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Pinda, wakati wa sherehe za uzinduzi wa
wiki ya Elimu nchi niiliofanyika mapema mwezi Mei 2014 mjini Dodoma ambapo mkoa
wa Tanga umekuwa wa kwanza kitaifa kwa kuwa na shule nyingi zililizofanya
vizuri katika mitihani ya Taifa ya
Darasa la Saba, kidato cha nne na Kidato cha sita kwa mwaka 2013.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Chiku Gallawa(kushoto) akimpongeza
Katibu Tawala Msaidizi upande wa Elimu Mkoa Ramadhani Chomola (kulia).
|
KatibuTawala
Mkoawa Tanga Salum Mohamed Chima (kushoto) akikabidhiwa Tuzo ya elimu ya mkoa
na Katibu Tawala Msaidizi upande wa Elimu Ramadhani Chomola mara baada ya kuiwasilisha kutoka
Dodoma. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Chiku Gallawa.
No comments:
Post a Comment
Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269