Breaking News

Your Ad Spot

Jul 18, 2014

WATENDAJI NA VIONGOZI WA CCM NA JUMUIA ZAKE NGAZI YA KATA KATIKA JIMBO LA TEMEKE WAPEWA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO

 Mwenyekiti wa CCM, wilaya ya Kinondoni Salum Madenge akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo watendaji na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi na Jumuia zake ngazi ya kata, katika Jimbo la Temeke, Dar es Salaam, leo, Julai 18, 2014 katika ukumbi wa CCM Uwanja wa Taifa. Kulia ni Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu na Kushoto ni Katibu Mwenezi wa Wilaya ya Temeke Rutami Masunu.
 Baadhi ya washiriki wakiwa kwenye mafunzo hayo
 Katibu Mwenezi wa wilaya ya Kinondoni, Mwinyimkuu Sangaraza, akitoa mada kuhusu wajibu na majukumu ya Katibu wa Uchumi na Fedha kwa mujibu wa katiba ya chama, wakati wa mafunzo hayo.
 Kada wa CCM, Badili Mangula akitoa mada kuhusu wajibu wa Katibu kwa mujibu wa Katiba.
 Mwenyekiti wa CCM, Kinondoni, Salum Madenge akiziungumza na waandishi baada ya kufungua mafunzo hayo elekezi.
Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu akizungumza baada ya kufunguliwa mafunzo hayo. Picha zote na Bashir Nkoromo- theNkoromo Blog

No comments:

Post a Comment

Toa Maoni kistaarab kwa Hoja kwa faida ya wenzako. au tundikie kupitia nkoromo@gmail.com, simu 0672223269

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages